f

f

RADIO

RADIO
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks
  • NO 1 Banda La Maonesho Ya Sikukuu Ya NaneNane Wilaya Ya Newala | No 2 Wajasiriamali Wakiwa Na Mgeni Rasmi.
  • NO 1.Mgeni Rasmi | No 2 Moja Ya Eneo Linalo Onesha Kilimo Hifadhi.
  • Mabanda Ya Maonesho Ya Sikukuu Ya NaneNane Yalivyopendeza Siku Hiyo Ya Maadhimisho
  • Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika).....

Sunday, October 20, 2013

MTANGAZAJI NGULI JULIUS NYAISANGA AFARIKI DUNIA

Julius Nyaisanga

Kaimu Meneja wa Abood Media Abeid Dogoli ameithibitishia  kwamba ni kweli mtangazaji wa siku nyingi Tanzania Julius Nyaisanga amefariki dunia leo asubuhi.
Amesema Nyaisanga alipelekwa hospitali ya Mazimbu Morogoro jana saa nane mchana kutokana na kusumbuliwa na Kisukari pamoja na presha ambapo asubuhi ya leo October 20 2013 ndio akafariki dunia akiwa na umri wa miaka 53
Mara yake ya mwisho kuingia ofisini ilikua juzi japo alikua ameanza likizo toka October 12 ambapo huu ulikua ni mwaka wake wa tatu toka ameanza kufanya kazi na Abood Media ya Morogoro kama Meneja wa kituo.
Taarifa nyingine kuhusu msiba wake utaendelea kuzipata hapa NEWALA BLOG
R.I.P Uncle J

No comments:

Post a Comment